Mwanzo 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli naye akasema:+ “Je, mimi niko badala ya Mungu, ambaye amekuzuilia uzao wa tumbo?”+ Methali 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ufahamu wa mtu hakika hupunguza hasira yake,+ na ni jambo lenye kupendeza anapopita kosa.+ Waefeso 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Iweni na ghadhabu, lakini msitende dhambi;+ jua lisitue mkiwa katika hali ya kuchokozeka,+
2 Kwa hiyo hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli naye akasema:+ “Je, mimi niko badala ya Mungu, ambaye amekuzuilia uzao wa tumbo?”+