Methali 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwadilifu anajua malalamiko halali ya watu wa hali ya chini.+ Aliye mwovu haufikirii ujuzi huo.+ Maombolezo 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kupotosha mtu katika kesi yake, Yehova mwenyewe hayakubali mambo hayo.+