6 Na Yosefu ndiye aliyekuwa mwenye mamlaka juu ya nchi hiyo.+ Ndiye aliyewauzia watu wote wa dunia.+ Basi ndugu za Yosefu wakaja na kumwinamia kifudifudi.+
9 Papo hapo Yosefu akakumbuka ndoto alizokuwa ameota juu yao,+ naye akaendelea kuwaambia: “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja kuona hali ya ukosefu wa ulinzi wa nchi hii!”+