9 Baadaye akaota ndoto nyingine tena, akawasimulia ndugu zake na kusema: “Tazama nimeota ndoto tena, na tazama, jua na mwezi na nyota kumi na moja zilikuwa zikiniinamia.”+
6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+