Mwanzo 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, unikumbuke mara tu mambo yatakapokuendea vema,+ tafadhali, usikose kunitendea fadhili zenye upendo na kunitaja kwa Farao,+ nawe unitoe nje ya nyumba hii. Ayubu 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watu ninaofahamiana nao wamekoma kuwapo,+Na wale ninaowajua wamenisahau,
14 Hata hivyo, unikumbuke mara tu mambo yatakapokuendea vema,+ tafadhali, usikose kunitendea fadhili zenye upendo na kunitaja kwa Farao,+ nawe unitoe nje ya nyumba hii.