Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ Methali 29:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Anayeshirikiana na mwizi anachukia nafsi yake mwenyewe.+ Huenda akasikia kiapo chenye laana, lakini asitoe habari yoyote.+ 1 Petro 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+
24 Anayeshirikiana na mwizi anachukia nafsi yake mwenyewe.+ Huenda akasikia kiapo chenye laana, lakini asitoe habari yoyote.+
16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+