Mwanzo 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Yakobo alimpenda Raheli. Kwa hiyo akasema: “Mimi niko tayari kukutumikia miaka saba kwa ajili ya Raheli binti yako mdogo.”+ Mwanzo 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha akasema: “Mungu ameondolea mbali shutuma yangu!”+ Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Mwanzo 46:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Raheli,+ mke wa Yakobo, walikuwa Yosefu+ na Benyamini.+
18 Naye Yakobo alimpenda Raheli. Kwa hiyo akasema: “Mimi niko tayari kukutumikia miaka saba kwa ajili ya Raheli binti yako mdogo.”+
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+