42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+
6 Naye akaendelea kusema: “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.”+ Kisha Musa akauficha uso wake, kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli.
37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+