Mwanzo 41:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Basi Yosefu akamwita jina lake mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”+ Zaburi 89:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mkono wenye nguvu ni wako,+Mkono wako una nguvu,+Mkono wako wa kuume umeinuliwa.+ Matendo 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa kweli Daudi hakupanda mbinguni,+ bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume,+ Waefeso 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+
51 Basi Yosefu akamwita jina lake mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”+
34 Kwa kweli Daudi hakupanda mbinguni,+ bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume,+
20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+