Kumbukumbu la Torati 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+ Zaburi 81:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye ataendelea kumlisha mafuta ya ngano,+Na kutokana na mwamba nitakushibisha asali.”+
14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+