24 Mungu akaendelea kusema: “Dunia+ na itokeze nafsi zilizo hai kulingana na aina zake, mnyama wa kufugwa+ na mnyama anayetambaa+ na mnyama-mwitu+ wa dunia kulingana na aina yake.” Ikawa hivyo.
2 Kila kiumbe hai cha dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitawahofu na kuwaogopa ninyi, na pia kila kitu kinachotembea juu ya nchi, na samaki wote wa baharini. Vimetiwa mkononi mwenu.+