Kumbukumbu la Torati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+ Luka 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+
8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+
51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+