3 “‘Baada ya muda nikamchukua Abrahamu+ babu yenu kutoka ng’ambo ile nyingine ya Mto,+ nikamtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuufanya uzao wake kuwa mwingi.+ Basi nikampa Isaka.+
4 Ndipo akatoka nchi ya Wakaldayo na kuanza kukaa Harani. Na kutoka huko, baada ya baba yake kufa,+ Mungu akamfanya abadili makao yake mpaka kwenye nchi hii ambamo ninyi sasa mnakaa.+