26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa.
18 Nami nitawatoa wale watu wanaolivunja agano langu,+ kwa sababu hawakutenda yale maneno ya agano ambalo walifanya mbele zangu kwa yule ndama ambaye walimkata vipande viwili+ ili wapite katikati ya vipande vyake;+