Mhubiri 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+ Waefeso 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Enyi watumwa, watiini wale ambao ni mabwana wenu katika maana ya kimwili,+ kwa kuogopa na kutetemeka+ katika unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo, Tito 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watumwa+ na wajitiishe kwa mabwana wao katika mambo yote,+ na kuwapendeza kikamili, wasiwe wakiwajibu kwa ujeuri,+
4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+
5 Enyi watumwa, watiini wale ambao ni mabwana wenu katika maana ya kimwili,+ kwa kuogopa na kutetemeka+ katika unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,
9 Watumwa+ na wajitiishe kwa mabwana wao katika mambo yote,+ na kuwapendeza kikamili, wasiwe wakiwajibu kwa ujeuri,+