5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
13 “Na itatukia kwamba ikiwa mtatii amri+ zangu ninazowaamuru ninyi leo ili kumpenda Yehova Mungu wenu na kumtumikia kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote,+