Waamuzi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo malaika+ wa Yehova akapanda kutoka Gilgali+ akaenda Bokimu+ na kusema: “Mimi niliwatoa ninyi Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zenu.+ Zaidi ya hayo, nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+ Zaburi 111:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Amewapa chakula wale wanaomwogopa.+ י [Yohdh]Mpaka wakati usio na kipimo, atalikumbuka agano lake.+
2 Ndipo malaika+ wa Yehova akapanda kutoka Gilgali+ akaenda Bokimu+ na kusema: “Mimi niliwatoa ninyi Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zenu.+ Zaidi ya hayo, nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+
5 Amewapa chakula wale wanaomwogopa.+ י [Yohdh]Mpaka wakati usio na kipimo, atalikumbuka agano lake.+