Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi watu wa Sodoma walikuwa wabaya nao walikuwa wakimtendea Yehova dhambi nzito.+

  • Mwanzo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+

  • Isaya 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki