Mwanzo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi watu wa Sodoma walikuwa wabaya nao walikuwa wakimtendea Yehova dhambi nzito.+ Mwanzo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+ Isaya 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+
20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+
9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+