Mwanzo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma: “Nainua mkono wangu katika kiapo+ kwa Yehova Mungu Aliye Juu Zaidi, Mtokezaji wa mbingu na dunia, Waebrania 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+
22 Ndipo Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma: “Nainua mkono wangu katika kiapo+ kwa Yehova Mungu Aliye Juu Zaidi, Mtokezaji wa mbingu na dunia,
16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+