Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Navyo visima vyote ambavyo watumishi wa baba yake walikuwa wamechimba siku za Abrahamu baba yake,+ Wafilisti wakawa wakivifunika na kuvijaza kwa udongo mkavu.+

  • Mwanzo 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wachungaji wa Gerari wakaanza kugombana na wachungaji wa Isaka,+ wakisema: “Maji haya ni yetu!” Basi akakiita hicho kisima Eseki, kwa sababu walikuwa wameshindana naye.

  • Kutoka 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kama kawaida wachungaji wakaja na kuwafukuzia mbali. Kwa hiyo Musa akasimama na kuwasaidia wanawake hao na kulinywesha kundi lao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki