15 Navyo visima vyote ambavyo watumishi wa baba yake walikuwa wamechimba siku za Abrahamu baba yake,+ Wafilisti wakawa wakivifunika na kuvijaza kwa udongo mkavu.+
20 Nao wachungaji wa Gerari wakaanza kugombana na wachungaji wa Isaka,+ wakisema: “Maji haya ni yetu!” Basi akakiita hicho kisima Eseki, kwa sababu walikuwa wameshindana naye.