Mwanzo 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tafadhali, ichukue zawadi ya baraka yangu iliyoletwa kwako,+ kwa sababu Mungu amenipa kibali na kwa sababu nina kila kitu.”+ Naye akaendelea kumhimiza, hata akaichukua.+ Methali 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+
11 Tafadhali, ichukue zawadi ya baraka yangu iliyoletwa kwako,+ kwa sababu Mungu amenipa kibali na kwa sababu nina kila kitu.”+ Naye akaendelea kumhimiza, hata akaichukua.+
8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+