12 Basi Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Kila kitu alicho nacho kimo mkononi mwako. Ila tu usinyooshe mkono wako juu yake mwenyewe!” Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova.+
15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+
7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.