Kutoka 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kondoo huyo anapaswa kuwa asiye na kasoro,+ dume, mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa ajili yenu.+ Mnaweza kumchagua kutoka kati ya wana-kondoo dume au kutoka kati ya mbuzi. Waroma 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+
5 Kondoo huyo anapaswa kuwa asiye na kasoro,+ dume, mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa ajili yenu.+ Mnaweza kumchagua kutoka kati ya wana-kondoo dume au kutoka kati ya mbuzi.
36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+