Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 ili kupata kibali+ kwa ajili yenu, lazima awe hana kasoro,+ wa kiume kutoka katikati ya mifugo, katikati ya wana-kondoo dume au katikati ya mbuzi.

  • Kumbukumbu la Torati 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe-dume au kondoo mwenye kasoro, kitu chochote kibaya; kwa sababu ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

  • Malaki 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Naye amelaaniwa anayetenda kwa ujanja wakati kuna mnyama dume katika kundi lake, naye anaweka nadhiri na kutoa dhabihu ya kilema kwa Yehova.+ Kwa maana mimi ni Mfalme mkuu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “na jina langu litakuwa lenye kuogopesha kati ya mataifa.”+

  • Waebrania 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+

  • Waebrania 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?

  • 1 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki