30 katika pango lililo katika shamba la Makpela mbele ya Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa Efroni Mhiti awe na mahali pa kuzikia.+
5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+