25 Nami nikawapimia fedha na dhahabu na vyombo,+ ule mchango ambao mfalme+ na washauri wake+ na wakuu wake na Waisraeli+ wote waliopatikana walikuwa wamechanga kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
16 nao wakahamishwa mpaka Shekemu+ na kulazwa katika kaburi+ ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa bei fulani kwa fedha kutoka kwa wana wa Hamori katika Shekemu.+