Kutoka 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe utafanya miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.+ 1 Mambo ya Nyakati 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo wana wa Walawi wakaanza kulibeba+ sanduku la Mungu wa kweli, kama Musa alivyoamuru kwa amri ya Yehova, juu ya mabega yao na fimbo zikiwa juu yao.+
15 Ndipo wana wa Walawi wakaanza kulibeba+ sanduku la Mungu wa kweli, kama Musa alivyoamuru kwa amri ya Yehova, juu ya mabega yao na fimbo zikiwa juu yao.+