Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa, hivyo ndivyo wana wa Israeli walivyoufanya utumishi wote.+

  • Hesabu 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa huu ndio uliokuwa ufundi wa kinara cha taa. Kilikuwa cha dhahabu iliyofuliwa. Kuanzia sehemu zake za kando na mpaka kwenye maua yake kilikuwa kimefuliwa.+ Kulingana na maono+ ambayo Yehova alikuwa amemwonyesha Musa, ndivyo alivyokuwa amekitengeneza kinara cha taa.

  • Matendo 7:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, kama vile alivyotoa maagizo alipokuwa akisema na Musa ili kulifanya kulingana na mfano aliokuwa ameuona.+

  • Waebrania 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 lakini watu ambao wanatoa utumishi mtakatifu katika mfano wa uhalisi+ na kivuli+ cha vitu vya mbinguni; kama vile Musa, alipokuwa karibu kumaliza hema,+ alipewa amri ya kimungu:+ Kwa maana yeye anasema: “Uhakikishe kwamba umevifanya vitu vyote kulingana na mfano wake ambao wewe ulionyeshwa mlimani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki