Kutoka 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Na wote wenye moyo wa hekima+ katikati yenu na waje na kufanya yote ambayo Yehova ameamuru, Kutoka 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Na Bezaleli atafanya kazi, pia Oholiabu+ na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova amempa hekima+ na uelewaji+ wa mambo haya ili kujua jinsi ya kufanya kazi yote ya utumishi mtakatifu kulingana na yote ambayo Yehova ameamuru.”+
36 “Na Bezaleli atafanya kazi, pia Oholiabu+ na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova amempa hekima+ na uelewaji+ wa mambo haya ili kujua jinsi ya kufanya kazi yote ya utumishi mtakatifu kulingana na yote ambayo Yehova ameamuru.”+