Kutoka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+ Matendo 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Alikuwa akidhani ndugu zake wangefahamu ya kwamba Mungu alikuwa akiwapa wokovu kwa mkono wake,+ lakini hawakufahamu hilo.
14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+
25 Alikuwa akidhani ndugu zake wangefahamu ya kwamba Mungu alikuwa akiwapa wokovu kwa mkono wake,+ lakini hawakufahamu hilo.