21 Naye akaosha matumbo na miguu kwa maji, na Musa akamfukiza kondoo mzima juu ya madhabahu.+ Lilikuwa toleo la kuteketezwa kwa ajili ya harufu ya kutuliza.+ Lilikuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.