Mambo ya Walawi 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nanyi mtakaa katika mwingilio wa hema la mkutano mchana na usiku kwa siku saba,+ nanyi mtashika kesha la lazima la Yehova,+ msije mkafa; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.” Mambo ya Walawi 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ikawa kwamba katika siku ya nane,+ Musa akamwita Haruni na wanawe na wanaume wazee wa Israeli.
35 Nanyi mtakaa katika mwingilio wa hema la mkutano mchana na usiku kwa siku saba,+ nanyi mtashika kesha la lazima la Yehova,+ msije mkafa; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.”