35 Nanyi mtakaa katika mwingilio wa hema la mkutano mchana na usiku kwa siku saba,+ nanyi mtashika kesha la lazima la Yehova,+ msije mkafa; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.”
27 Nao watamaliza siku hizo. Na itakuwa kwamba katika siku ya nane+ na kuanzia hapo na kuendelea makuhani watatoa juu ya madhabahu matoleo yenu mazima ya kuteketezwa na dhabihu zenu za ushirika; nami hakika nitapendezwa nanyi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”