-
2 Mambo ya Nyakati 26:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kisha wakasimama kumpinga Uzia mfalme+ na kumwambia: “Si kazi yako,+ Ee Uzia, kumfukizia Yehova uvumba, bali ni kazi ya makuhani, wana wa Haruni,+ waliotakaswa, kufukiza uvumba. Ondoka ndani ya patakatifu; kwa maana umetenda kwa ukosefu wa uaminifu, wala jambo hilo si utukufu+ wowote kwako mbele za Yehova Mungu.”
-