Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha wakasimama kumpinga Uzia mfalme+ na kumwambia: “Si kazi yako,+ Ee Uzia, kumfukizia Yehova uvumba, bali ni kazi ya makuhani, wana wa Haruni,+ waliotakaswa, kufukiza uvumba. Ondoka ndani ya patakatifu; kwa maana umetenda kwa ukosefu wa uaminifu, wala jambo hilo si utukufu+ wowote kwako mbele za Yehova Mungu.”

  • Ezekieli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wanaume 70+ wazee wa nyumba ya Israeli, pamoja na Yaazania mwana wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao, walikuwa wamesimama mbele ya hiyo, kila mmoja akiwa na chetezo chake mkononi mwake, na manukato ya wingu la uvumba yalikuwa yakipaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki