Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Naye Haruni atafukiza+ uvumba uliotiwa manukato+ juu yake. Asubuhi kwa asubuhi, anapotayarisha taa,+ ataufukiza.⁠

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni akatengwa+ ili atakase Patakatifu Zaidi,+ yeye na wanawe mpaka wakati usio na kipimo, kufukiza moshi wa dhabihu+ mbele za Yehova, kumhudumia+ na kutangaza baraka+ katika jina lake mpaka wakati usio na kipimo.

  • Waebrania 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pia, mtu huchukua heshima hii, si kwa kupenda kwake mwenyewe,+ bali tu Mungu anapomwita,+ kama Haruni+ pia alivyoitwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki