Hesabu 31:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa hiyo na tutoe kila mmoja kile ambacho amepata kiwe toleo la Yehova,+ vyombo vya dhahabu, mikufu ya mguuni, na vikuku, pete za muhuri,+ vipuli, na mapambo ya kike,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zetu mbele za Yehova.”
50 Kwa hiyo na tutoe kila mmoja kile ambacho amepata kiwe toleo la Yehova,+ vyombo vya dhahabu, mikufu ya mguuni, na vikuku, pete za muhuri,+ vipuli, na mapambo ya kike,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zetu mbele za Yehova.”