Kutoka 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tena akafanya yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na ule uvumba safi uliotiwa manukato,+ kazi ya mtengenezaji wa marhamu. 1 Wafalme 1:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kisha Sadoki kuhani akachukua pembe ya mafuta+ kutoka katika hema,+ akamtia mafuta+ Sulemani; nao wakaanza kupiga baragumu, na watu wote wakaanza kusema kwa sauti: “Mfalme Sulemani na aishi!”+ Zaburi 89:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nimemwona Daudi mtumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta,+
29 Tena akafanya yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na ule uvumba safi uliotiwa manukato,+ kazi ya mtengenezaji wa marhamu.
39 Kisha Sadoki kuhani akachukua pembe ya mafuta+ kutoka katika hema,+ akamtia mafuta+ Sulemani; nao wakaanza kupiga baragumu, na watu wote wakaanza kusema kwa sauti: “Mfalme Sulemani na aishi!”+