25 Kisha utafanya kutokana nayo mafuta matakatifu ya kutia mafuta, marhamu, mchanganyiko wa kazi ya mtengenezaji wa marhamu.+ Yatakuwa mafuta matakatifu ya kutia mafuta.+
9 Nawe utachukua yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na kuitia mafuta+ maskani na vyote vilivyomo ndani yake,+ nawe utaitakasa pamoja na vyombo vyake vyote, nayo itakuwa kitu kitakatifu.