Kumbukumbu la Torati 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Nanyi mjiangalie vema nafsi zenu,+ kwa sababu hamkuona umbo+ lolote katika siku ambayo Yehova alisema nanyi katika Horebu kutoka katikati ya moto, Yohana 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+ Matendo 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 wakimwambia Haruni, ‘Tufanyie miungu iende mbele yetu. Kwa maana huyo Musa, aliyetuongoza kutoka katika nchi ya Misri, hatujui lililompata.’+ Matendo 17:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+
15 “Nanyi mjiangalie vema nafsi zenu,+ kwa sababu hamkuona umbo+ lolote katika siku ambayo Yehova alisema nanyi katika Horebu kutoka katikati ya moto,
40 wakimwambia Haruni, ‘Tufanyie miungu iende mbele yetu. Kwa maana huyo Musa, aliyetuongoza kutoka katika nchi ya Misri, hatujui lililompata.’+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+