Kutoka 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako. Kumbukumbu la Torati 28:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.
12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako.
37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.