Kumbukumbu la Torati 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+ Malaki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi mtajua kwamba nimewapelekea ninyi amri hii,+ ili agano+ langu pamoja na Lawi liendelee,”+ Yehova wa majeshi amesema.
9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+
4 Nanyi mtajua kwamba nimewapelekea ninyi amri hii,+ ili agano+ langu pamoja na Lawi liendelee,”+ Yehova wa majeshi amesema.