Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Nawe utakifanya kifuko cha kifuani cha hukumu+ kwa ufundi wa mtarizi. Sawa na ufundi wa efodi utakifanya. Utakifanya kwa dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.+

  • Kutoka 28:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Naye Haruni atayachukua majina ya wana wa Israeli kwenye kile kifuko cha kifuani cha hukumu juu ya moyo wake anapoingia Patakatifu ili uwe ukumbusho mbele za Yehova daima.

  • Kutoka 28:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima.

  • Kutoka 39:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nao wakafanya juu ya kile kifuko cha kifuani minyororo yenye mashada, msokoto wa kamba, wa dhahabu safi.+

  • Kutoka 39:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mwishowe wakakifunga kile kifuko cha kifuani kwa pete zake kwenye zile pete za efodi kwa uzi wa bluu, ili kipate kuwa juu ya mshipi wa efodi na kile kifuko cha kifuani kisiondoke juu ya efodi, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki