Kutoka 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe utalifunika kwa dhahabu safi.+ Utalifunika upande wa ndani na wa nje, nawe utalifanyia ukingo wa dhahabu kuzunguka juu yake pande zote.+ Waebrania 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;
11 Nawe utalifunika kwa dhahabu safi.+ Utalifunika upande wa ndani na wa nje, nawe utalifanyia ukingo wa dhahabu kuzunguka juu yake pande zote.+
4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;