Kutoka 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Musa akasema: “Tutaenda pamoja na vijana wetu na wazee wetu. Tutaenda pamoja na wana wetu na binti+ zetu, pamoja na kondoo zetu na ng’ombe zetu,+ kwa maana tuna sherehe ya kumfanyia Yehova.”+
9 Ndipo Musa akasema: “Tutaenda pamoja na vijana wetu na wazee wetu. Tutaenda pamoja na wana wetu na binti+ zetu, pamoja na kondoo zetu na ng’ombe zetu,+ kwa maana tuna sherehe ya kumfanyia Yehova.”+