8 Nao mshipi,+ ulio juu yake ili kufunga kwa kuikaza, kulingana na ufundi wake, utakuwa wa vifaa vyake, wa dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.
5 Kisha utayachukua yale mavazi+ na kumvika Haruni kwa kanzu na koti lisilo na mikono la efodi na kwa efodi na kifuko cha kifuani, nawe utamfunga hicho kwa kukaza kwa mshipi wa efodi.+