Mwanzo 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakaanza kuambiana: “Haya! Na tutengeneze matofali tuyachome.” Basi matofali yakawa mawe yao, lakini lami ikawa saruji yao.+ Kutoka 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+ Nahumu 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Jitekee maji kwa ajili ya kuzingirwa.+ Tia nguvu mahali pako penye ngome.+ Ingia matopeni, kanyaga-kanyaga udongoni; kamata kalibu ya matofali.
3 Nao wakaanza kuambiana: “Haya! Na tutengeneze matofali tuyachome.” Basi matofali yakawa mawe yao, lakini lami ikawa saruji yao.+
14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+
14 Jitekee maji kwa ajili ya kuzingirwa.+ Tia nguvu mahali pako penye ngome.+ Ingia matopeni, kanyaga-kanyaga udongoni; kamata kalibu ya matofali.