Mambo ya Walawi 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Musa akawaleta karibu Haruni na wanawe na kuwaosha+ kwa maji.+ Waefeso 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+ Waebrania 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kwa maana Sheria huweka rasmi kuwa makuhani wakuu+ watu walio na udhaifu,+ lakini neno la kiapo+ rasmi lililokuja baada ya Sheria humweka rasmi Mwana, ambaye amekamilishwa+ milele.
28 kwa maana Sheria huweka rasmi kuwa makuhani wakuu+ watu walio na udhaifu,+ lakini neno la kiapo+ rasmi lililokuja baada ya Sheria humweka rasmi Mwana, ambaye amekamilishwa+ milele.