Yoshua 21:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Majiji yote yaliyokuja kuwa ya wana wa Merari+ kulingana na familia zao, waliobaki kutoka kwa familia za Walawi, yalikuwa, kulingana na kura yao, majiji kumi na mawili. 1 Mambo ya Nyakati 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+ Na hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na mababu zao:+
40 Majiji yote yaliyokuja kuwa ya wana wa Merari+ kulingana na familia zao, waliobaki kutoka kwa familia za Walawi, yalikuwa, kulingana na kura yao, majiji kumi na mawili.
19 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+ Na hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na mababu zao:+