Isaya 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Jiombee ishara kutoka kwa Yehova Mungu wako,+ ifanye kuwa yenye kina kirefu kama Kaburi* au uifanye kuwa ndefu kama maeneo ya juu.” Mathayo 12:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Akajibu, akawaambia: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi+ kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara kitakachopewa isipokuwa ishara ya nabii Yona.+ Yohana 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo wakamwambia: “Basi, wewe unafanya ishara+ gani, ili tuione, tukuamini? Ni kazi gani ambayo unafanya?
11 “Jiombee ishara kutoka kwa Yehova Mungu wako,+ ifanye kuwa yenye kina kirefu kama Kaburi* au uifanye kuwa ndefu kama maeneo ya juu.”
39 Akajibu, akawaambia: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi+ kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara kitakachopewa isipokuwa ishara ya nabii Yona.+
30 Kwa hiyo wakamwambia: “Basi, wewe unafanya ishara+ gani, ili tuione, tukuamini? Ni kazi gani ambayo unafanya?