5 Na Wamisri hakika watajua kwamba mimi ni Yehova wakati ambapo nitaunyoosha mkono wangu juu ya Misri,+ nami kwa kweli nitawatoa wana wa Israeli kutoka katikati yao.”+
22 Na siku hiyo hakika nitaifanya nchi ya Gosheni ambapo watu wangu wanakaa iwe tofauti, kwamba inzi yeyote asiwe huko;+ ili upate kujua kwamba mimi ni Yehova katikati ya dunia.+
17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+